Friday 5 June 2020

Ushawahi Kubaguliwa? 'Zoom na Zoo' yajadili hayo



Gumzo katika 'Zoom na Zoo'. Kutokana na ghasia zinazoendelea nchini Marekani baada dunia 

kushuhudia namna George Floyd alivyouawa na polisi kufuatia kukamatwa na kukandamizwa 

shingoni hadi pumzi zikakata, mjadala kuhusu ubaguzi wa rangi umeibuka tena. Zuhura Yunus 

kazungumza na Dan Nkurlu akiwa Marekani, Najma Said -Ujerumani, Muhammed Omar- Uingereza 

na Salim Kikeke- Uingereza. wakieleza uhalisia wa ubaguzi.



No comments:

Post a Comment