Friday 27 March 2015

FILAMU KUHUSU ALBINO YAZINDULIWA LONDON

   
 Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la mauaji ya albino, hasa katika mataifa ya Malawi, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Tanzania na vile vile Burundi. Watu hao hulengwa kutokana na itikadi za kichawi kwa madai kuwa viungo vyao huleta utajiri, bahati na kuponyesha maradhi yoyote. Filamu moja inayoangazia mauaji ya albino Tanzania 'White Shadow' imezinduliwa London wiki hii, Zuhura Yunus wa BBC alihudhuria uzinduzi huo.

No comments:

Post a Comment