Tuesday 31 March 2015

MUHAMMADU BUHARI ASHINDA NIGERIA



File photo: Goodluck Jonathan (left) and Muhammadu Buhari shake hands after signing a peace deal agreeing to respect the outcome of the polls
Goodluck Jonathan (kushoto) na Muhammadu Buhari walikubaliana wiki iliyopita kuheshimu matokeo ya uchaguzi

Aliyekuwa kiongozi wa kijeshi Muhammadu Buhari amekuwa mgombea wa kwanza wa upinzani kushinda uchaguzi wa urais Nigeria.

Chama cha Jenerali Buhari kimesema mpinzani wake, Goodluck Jonathan, alikubali kushindwa na kumpa pongezi.

Bw Jonathan alipishana na Jenerali Buhari kwa takriban kura milioni mbili alipogoma mara ya kwanza kukubali kushindwa.

Waangalizi kwa ujumla wameusifia uchaguzi lakini kumekuwa na madai ya udanganayifu, ambao baadhi wanahofia kunaweza kusababisha maandamano na ghasia.

Kwa taarifa zaidi, bonyeza link ifuatayo

http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-32139858

No comments:

Post a Comment