Wednesday 11 February 2015

VIBONZO VYARAHISISHA HISABATI KWA WATOTO TZ

    
Hisibati na Sayansi ni masomo yasiowavutia sana watoto, lakini Tanzania mtazamo huo unabadilika. Ubongo kids ni vibonzo vya elimu burudani,ya kwanza kwa Tanzania, inayofundisha watoto hisabati na sayansi kwa njia ya wanyama wanaoimba. Kipindi kinatazamwa na zaidi ya watoto milioni moja. Mwandishi wa BBC Tulanana Bohela anasimulia.

1 comment:

  1. Hii ni hatua kubwa kwa matumizi ya teknolojia kuendeleza vipaji. Hakika faida zake ziko wazi kabisa.

    ReplyDelete