Wednesday 3 December 2014

MAHOJIANO YA BBC KUHUSU HIV 'KUPUNGUA MAKALI'

     
Utafiti mkubwa wa kisayansi umesema virusi vya HIV vinapungua makali kadri muda unavyoenda. Watafiti kutoka chuo kikuu cha Oxford wamegundua hilo baada ya kuwachunguza mamia ya wanawake nchini Botswana.
Kufahamu zaidi , Jo-Angeline Kalambo, mtaalam wa afya ya jamii katika shirika la Global Fund linaloshughulikia ukimwi, malaria na kifua kikuu, alihojiwa na BBC Dira TV mwanzo akitoa maoni yake kuhusu utafiti huo.

No comments:

Post a Comment