Sunday 7 December 2014

MARAIS MATAJIRI WA BARA LA AFRIKA 2014

   

Afrika ni bara la pili kwa ukubwa duniani. Pia ni bara la pili lenye watu wengi sana na linachukuliwa kuwa bara maskini mno.

Kuna mataifa 47 ya Afrika yanayoongozwa na viongozi walioongoza kwa zaidi ya muongo mmoja.

Baadhi ya viongozi hawa na familia zao ni matajiri sana na mali zao zinaonekana kupatikana isivyo halali. Wanapata mali zao kutoka maliasili za mataifa hayo.

Marais na Wafalme 8 matajiri wa Afrika wa mwaka 2014. Bonyeza hapa: http://bit.ly/1BqRbn9


No comments:

Post a Comment