Monday 24 November 2014

RAIS OBAMA: HILLARY ATAKUWA RAIS MZURI



Hillary for 2016 merchandise

Hillary Clinton atakuwa "rais mzuri" iwapo ataamua kugombea Urais wa Marekani mwaka 2016, Rais Barack Obama alisema.

Aliiambia ABC News kuwa Bi Clinton "asingekuwa anakubaliana na mie kwa kila kitu", ambaponi ishara ya kuwavutia wapiga kura baada ya kukaa madarakani kwa miaka minane.

Bi Clinton, mwenye umri wa miaka 67, alishindwa katika uteuzi wa kugombea urais kupitia chama cha Democrat ambapo Bw Obama ndio aliibuka kidedea.

Anatarajiwa kutangaza iwapo atagombea tena mapema mwaka 2015

No comments:

Post a Comment