Sunday 14 September 2014

BIBI KIZEE AMTIA ADABU MWIZI

The woman was attacked between Invicta Road (pictured) and Bellevue Road.
Eneo lilipotokea shambulio hilo

 Ajuza mwenye umri wa miaka 80 amempiga ngumi mwizi usoni, na kusababisha atimue mbio.

Bibi huyo alikuwa akimtembeza mbwa wake maeneo ya Whistable, Kent nchini Uingereza, na kujikuta akikamtwa na mtu aliyevaa nyeusi na kuvaa fulana yenye sehemu ya kufunika kichwa pia.

 Alimkimbiza mshambuliaji huyo kwa kumpiga ngumi mdomoni.

 Polisi wa Kent wamesema wanamtafuta mshukiwa aliyejeruhiwa usoni.


Inspekta polisi wa Kent alisema, "Inaonekana mshukiwa safari hii kakosea wa kumshambulia".


No comments:

Post a Comment