Wednesday 17 September 2014

UFAHAMU ZAIDI KUHUSU KURA YA MAONI YA USKOCHI

Alhamsi wananchi wa Uskochi watapiga kura ya maoni kuamua iwapo wajitenge na Uingereza au la. Wananchi watajua ikiwa Uskochi itajiondoa kutoka muungano na Uingereza, muungano ambao umedumu kwa miaka 307.

Hadi sasa kura ya maoni inaonyesha kuwa kuna ushindani mkubwa kati ya wanaotaka muungano kuvunjwa na wale wanaotaka muungano kusalia.

Peter Musembi kutoka Idhaa ya Kiswahili ya BBC anakufahamisha zaidi

No comments:

Post a Comment